Saturday, October 31, 2015

Hizi ndizo faida 50 za mazoezi

Moja ya mahitaji matano (5) mhimu ili kuishi baada ya oksijeni, maji, chumvi, na potasiamu; ni Mazoezi. Mazoezi ni mhimu kwa ajili ya afya zaidi ya kuwa na maumbile ya kuvutia (sex body), burudani au kitu kingine chochote. Watu wengi hufuatilia kuhusu chakula tu, hata kama utakula vizuri vipi bila mazoezi mlo haujakamilika,...
Share:

Kitunguu Swaumu hutibu magonjwa 30

MUNGU anaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hamaanishi maarifa ya kutengeneza au kuendesha ndege, ni maarifa ya kawaida tu katika maisha yetu ya kila siku ambayo yanaweza kubadilisha afya na ustawi wetu. Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu...
Share:

UFAHAMU WAKATI MZURI WA KUPATA MAWAZO MAPYA NA KUJIONA MWENYEWE

Habari Ndugu: Katika maisha yako umesha chunguza na ukafahamu ni wakati gani huwa unapata mawazo mapya au ni wakati gani huwa unajisikia furaha utulivu wa akili na hatimaye unapata nguvu mpya ya kusonga mbele kwenye maisha yako? Je, ni wakati ukiwa umelala?, ni wakati ukiwa...
Share:

UNAPOIHARIBU NAFSI YAKO

Habari yako ndugu na rafiki yangu; Ninakukaribisha katika tafakari yetu ya leo, ambapo nimekuwa nikikuletea makala hizi kwa lengo la kukusaidia pale unapokwama ili kwa pamoja tusonge mbele katika maisha yetu na lengo langu kubwa ni ili mimi na wewe tufanikiwe. Masomo haya...
Share:

UTAMU WA MAISHA HUU HAPA

Furaha niliyonayo, haina tena mfano, Nacheka napiga mwayo, na kuubusu mkono, Umeburudika moyo, kwa usingizi wa pono, Njoo mwaka kesho njoo, nende zangu sekondari. Ndugu nimeanza kwa kionjo cha shairi hilo nikitaka tujifunze kitu. Shairi hilo nalikumbuka lilikuwa limeandikwa...
Share:
Top Servicare. Powered by Blogger.

Web Design

Popular Posts

INSTAGRAM FEED

@soratemplates

Blog Archive

About