Monday, December 5, 2016

Unlock Simu Yako Leo

              Unlock Simu Yako Leo

HUAWEI ASCEND Y600, Y550, Y530 , Y330 , Y300, Y200, Y201,Y101,TiGO

 VODAFONE VF 685, V685, SMART KICKA, VodaCom


 VODAFONE V875 , V785 VodaCom


TECNO H6 TiGO.


 HUAWEI MOBILE Wi-Fi E5331 VodaCom, E5221 TiGO, ZTE R206z VodaCom


1.Je una simu au mobile wi-fi , wireless router , mi-fi yoyote kati ya hizo zilizotajwa hapo juu?
2. Je inatumia SIM CARD ya mtandao mmoja tu?
3. je unataka itumie mitandao yote bila kubagua?


Kama majibu yako ni ndio basi leo umepata suluhisho la matatizo yako

Basi leo umekutana na TOPSERVICECARE ambao ni wataalamu wa ku-unlock simu na vifaa vingine ili viweze kutumia mitandao yote. Tuna-unlock simu zote kwa kutumia unlock codes. Kwa wale wote wenye simu za HUAWEI na zinatumia line moja tu e.g. TiGO, au simu zote za VODAFONE zinazotumia line moja ya VodaCom tu basi wataweza kutumia mitandao yote yaani VodaCom, Airtel, TiGO, Zantel, TTCL, na mitandao yote duniani kote.
.

 NITAJUAJE KWAMBA SIMU YANGU INATUMIA MTANDAO MMOJA TU?
Utakapowasha simu yako ikiwa na SIM card tofauti itakutaka kuingiza namba moja wapo kati ya hizi zilizoorodheshwa hapa chini:-
---SIM network unlock pin
--- SIM service provider unlock pin
--- Network unlock code
-- Enter SIM Me Lock Code[NP]
-- Unlock Sim Block
-- Please Input Network Pin
-- SIM locked
--- SIM card locked! Please contact your operator! Reset Key?


QN1.NI TSH NGAPI HUDUMA HII?
Huduma hii ni sawa na bure kabisa. Ni Tsh 8000/= tu. Bei zetu hazina punguzo.

QN2.INAKUWAJE KAMA UNLOCK CODE NITAKAZOPEWA HAZITAFANYA KAZI?
Unlock code zinazotolewa ni "" FACTORY UNLOCK CODE"" , maana yake ni kwamba code hizi ni maalumu kwa simu husika tu na zinategema IMEI ya simu husika. IMEI inapatikana kwenye simu yako kwa kupiga *#06#.Hivyo basi unlock code kutoka TOPSERVICECARE kamwe haziwezi kushindwa kuifungua simu yako . Kila simu inakuwa na unlock code yake tofauti na zingine. Tangu tuanze huduma hii hakuna simu iliyowahi kushindikana hata moja.

QN3.JE KAMA NILIWAHI KUJARIBU KUINGIZA UNLOCK CODE ZA UONGO MPAKA SIMU IKAFUNGWA(BLOCKED) IKAANDIKA "UNLOCK SIM BLOCK" , JE NIFANYEJE?
kwa sasa hatuna huduma kwaambazo zimekuwa blocked.
 
QN4.JE SIMU ITAJIFUNGA TENA MTANDAO KWA SIKU ZIJAZO BAADA YA KU-UNLOCK AU NIKI-RESET SIMU?
HAPANA. Hata kama ukireset simu au ukiiformat au ukienda nayo nje ya nchi bado itaendelea kutumia mitandao yote duniani kote. Hii ndio maana ya unlocking.
Kwa wale watakaotaka kupata maelekezo ya ziada wanaweza wakawasiliana nasi kwa namba hiii ya simu ya mkononi..
VodaCom: 0757426730
Share:

0 comments:

Post a Comment

Top Servicare. Powered by Blogger.

Web Design

Popular Posts

INSTAGRAM FEED

@soratemplates

Blog Archive

About